Huduma ya Polisi wa Kenya

Polisi wa kitengo cha GSU.

Huduma ya  Polisi wa Kenya (kwa Kiingereza: Kenya Police Service) ndiyo shirika lenye nguvu za katiba za kudumisha ufuatiliaji wa sheria na utaratibu wa umma. Huduma imegawanywa katika kanda, kaunti hadi Polisi wa Tarafa, makao makuu yakiwa katika vituo vya polisi. Wote huripoti katika Makao Makuu ya Kitaifa ya Polisi. Chuo cha Polisi wa Kenya hutawaliwa kutoka makao makuu. Polisi wa Utawala huongozwa tofauti na polisi wengine.[1]

  1. "(2010) Crime and Development in Kenya".

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy